Showing posts with label BIBLIA. Show all posts
Showing posts with label BIBLIA. Show all posts

Sunday, 12 March 2017

Dhambi ya asili (au dhambi asili) ni jinsi Wakristo wa madhehebu mbalimbali wanavyoita dhambi ya kwanza ya watu ambayo imekuwa asili ya dhambi zote (Rom 5:12) na ya uharibifu wa tabia ya binadamu na ya dunia kwa jumla (Rom 8:19-25).

Dhambi ya asili katika Biblia

Michelangelo alivyochora katika kuta za Cappella Sistina huko Vatikano dhambi ya Adamu na Eva naadhabu iliyofuata ya kufukuzwa bustanini.
Kitabu cha Mwanzo sura ya 3 inasimulia dhambi hiyo. Kwa njia ya