Sunday, 12 March 2017

Ratiba ya ibada

Ratiba ya ibada (IPHC),Lugalo-Iringa ,Tanzania

Jumanne: Mazoezi ya kwaya saa 10:00 -12:00 jioni
Jumatatano: mafunzo ya biblia  saa 10:00-12:00 jioni
Alhamisi: mazoezi ya kwaya saa 10:00-12:00 jioni
Ijumaa: maombi na maombezi saa 10:00-12:00 jioni
Jumamosi: Mazoezi ya sifa na kuabudu saa 10:00-12:00 jioni
Jumapili: saa 3:00-4:00 asubuhi sunday school, saa 4:00-12:30 Ibada kuu na ibada ya jioni ni saa 10:00-12:00 jioni.

                                                  KARIBUNI SANAA!!!

No comments:

Post a Comment