
1. SEHEMU YA KWANZA: HISTORIA FUPI YA SHULE
Shule ya
awali Bathel ipo
katiaka mtaa wa
Lugalo B, karibu na Caritas,Kihesa, katiak
kanisa la International Pentecostal Holiness Church, Iringa mjini.
Shule ipo umbali wa mita 50 magharibi mwa barabar kuu ya Iringa- Dodoma,kuttoka
kituo cha majembe- kihesa. Shule hii inamilikiwa na kanisa la International Pentecostal Holiness Church. Tanzania.
Walimu ni wazoefu, waliojaa upendo kwa watoto na waliobobea
katika eleimu ya awali. Wafanya kazi wetu ni wasafi na wenye kuwapenda watoto
pia. Wazo la kuanzisha kituo hiki Iilitokana na askofu Mkuu
ili kutoa huduma kwa jamii inayozunguka kanisa na hatimaye mtaa mzima wa manispaa ya Iringa kwa ujumla. Pia
mwenyekiti wa mtaa aliomba kanisa lifungue
ahule ya awali ili kusaidia watoto wa Lugalo B ili wasivuke barabara kuu
kufuata elimu.
Maono: Kumjenga mtoto kiakili, kiroho na kimwili katika
elimu bora.
Malengo:
Ø Kuwa shule yenye kumlea mtoto katika hali zote.
Ø Kumsaidia mtoto kujitambua kuwa ameumbwa na Mungu.
Ø Kumsaidia mtoto kujiandaa kuingia elmu ya
msingi na hali ya kujitambua akiwa na ufanisi na
taaluma bora.
taaluma bora.
Ø Kutoa elimu bora ya awali inayotambuliwa na serikali
Ø Kumkuza mtoto katika ufanisi wakushirikiana na wenzake na jamii
kwa ujumla. Ø Kumwandalia mahali safi pakumvutia mtoto
kusoma na kukuza vipaji.
Ø Kuwa shule ya awali bora kuliko zote katika manispaa ya Iringa.
Ø Kuwa shule ya awali bora kuliko zote katika manispaa ya Iringa.
Muundo wa madarasa: Baby class: Miaka 2
Pre School: Miaka 3

Pre K : Miaka 4 & 5
Ikama ya walimu: Mwalimu mmoja kwa wanafunzi 15
Huduma ya ya day care (Huduma ya siku kwa
watoto): Huduma hii ni kwa ajili ya watoto kati ya mwaka mmoja (1) na miaka mitano (5).
2. SEHEMU YA PILI :
MAELEZO BINAFSI YA MZAZI AU MLEZI
(Sehemu zote zijazwe kwa herufi kubwa na Mzazi au Mlezi)
(Sehemu zote zijazwe kwa herufi kubwa na Mzazi au Mlezi)
2.1 jina la mzazi au mlezi : (Baba)
__________________________________________________
2.2 jina la mama
________________________________________________________________
2.3 kazi (Baba)
________________________________(mama) __________________________
2.4 mtaa/mahali mnapoishi
________________________________________________________
2.5 namab ya simu :______________________________________________________________
2.6 Barua pepe :
________________________________________________________________
2.7 Jina la
mlezi au mzazi
atakaye husika kumchukua/kumsindikiza mtoto
shuleni
3. SEHEMU YA TATU : MAELEZO YA MTOTO (Ambatanisha kivuli cha cheti cha
kuzaliwa kama
anacho)
3.1 Jina la mtoto
________________________________________________________________
3.2 Jinsia (ke)
_____________________________ (me) ________________________________
3.3 Tarehe ya kuzaliwa
___________________________________________________________
3.4 Mahali alipozaliwa :
mtaa/kijiji/hospitali __________________________________________
Wilaya ______________________ Mkoa _________________Uraia ___________________
Wilaya ______________________ Mkoa _________________Uraia ___________________
3.5 Hali ya afya ya mtoto:
(Eleza)
3.6 Kipaji cha mtoto
_____________________________________________________________
3.7 Anapenda nini?
______________________________________________________________
3.8 Ni mchezo gani anapendelea
___________________________________________________
3.9 Anandoto gani ya baadae
______________________________________________________
3.10 Mzazi/Mlezi: mnategemea nini
kwa mtoto akisoma
Bethel Nursery school:
4. SEHEMU YA NNE: ADA YA SHULE
Ada ni Th.20,000/= ( Ishirini elfu tu ) kwa
mwezi kwa wanaorudi 6:00 mchana na Tsh. 30,000/= ( Elfu
thelathini tu ) kwa wanaoshinda shuleni hadi saa 12:00 jioni, Ada hii italipwa benki. Kila Mzazi ahakikishe
analipa kwanza kabla hajamleta mtoto shuleni. Ushirikiano wenu utafanya watoto wetu wahudumiwe
vizuri.
thelathini tu ) kwa wanaoshinda shuleni hadi saa 12:00 jioni, Ada hii italipwa benki. Kila Mzazi ahakikishe
analipa kwanza kabla hajamleta mtoto shuleni. Ushirikiano wenu utafanya watoto wetu wahudumiwe
vizuri.
Namba ya Jina la
Akaunti: International Pentecostal Holiness Church

Akaunti: 60510023040
Jina la Benki:
National Micro Finance Bank (NMB)
Kwa mtoto yatima au nayeishi katika mazingira magumu: Kanisa
litachangia Nusu ya gharam kwa Mlezi ambaye
atakuwa hana uwezo wa kulipa. Uongozi wa mtaa utashirikishwa kuhakiki katika
mchakto huu.
5.
SEHEMU YA TANO: SARE YA SHULE
5.1 Sare
za watoto wa kike na wakiume zitapatikana shuleni kwa gharama nafuu sana ( suruali,shati,sketi
na sweta)
na sweta)
5.2 Kila
mtoto ni lazima awe na soksi nyeupe za kutosha na pea mbili za viatu
vyeusi,kisigino kifupi.
5.3 Kila
mtoto ni lazima awe awe na pea moja ya Raba nyeupe na Track suit: rangi Blue
Bahari kwa ajili
ya michezo.
ya michezo.
6.
SEHEMU YA SITA: MASHARTI YA SHULE
6.1 Kila
mwanafunzi ni lazima avae sare ya shule kila siku ya masomo. (sare zipo shuleni
kwa bei nafuu
sana)
sana)
6.2 Kila
mwanfunzi atavaa traki suti siku ya michezo.
6.3 Kila
mwanafunzi ni lazima awe na chupa maalum ya maji yake ya kunywa.
6.4 Kila mwanfunzi ni lazima awe na begi la shule (school
bag) na kulitumia.
6.5 Kila mwanafunzi ni lazima awe na pencseli za
rangi 12, penseli ya risasi 2,daftali 5 ndogo za Kusoma ,
Kuandika na Kuhesabu n.k
Kuandika na Kuhesabu n.k
6.6 Lugha za kufundishia ni kiingereza na
Kiswahili ili kutoa fursa kwa kila mwanfunzi kuchagua shule ya
mchepuo wa kiingereza (English Medium) au Kiswahili.
mchepuo wa kiingereza (English Medium) au Kiswahili.
7.
SEHEMU YA SABA: UWAJIBIKAJI WA MZAZI/MLEZI
7.1 Muda mwingi mtoto atakuwa shuleni; kwa hiyo
mazi/Mlezi hakikisha unafuatilia maendeleo ya mtoto
wako.
wako.
7.2 Mzazi/Mlezi hakikisha tunamlea pamoja vema
mtoto kwa kumsaidia kazi zote za nyumbani. (verbal or
written home assignments)
written home assignments)
7.3 Ikiwa mtoto anaumwa au ameshindwa kufika
shuleni kwa sababu yoyote ile,tafadhali taarifa kwa kwa
Mwalimu mkuu bila kukosa.
Mwalimu mkuu bila kukosa.
7.4 Kila Mzazi/Mlezi atachangia kiasi kidogo kwa
ajili ya chakula chepesi kwa mtoto. (Uji/mkate/chai
maziwa/blue band/matunda)
7.5 Kila Mzazi/Mlezi amtafutie mtot kifaa chochote cha
kuchezea.
8. AHADI (Commitment)
Mimi
_________________________________________________________________________
Mzazi/Mlezi wa _________________________________________________________
ninaahidi kuwa nitatekeleza yote na mengine
yatakayoshauriwa na shule.
For office use
9. Date
received __________________________________________________________________
9.1 Checked
thoroughly by _______________________________________________________
9.2 Approval accepted _________________________
Rejected __________________________
Waiting list _________________________________________________________________
Waiting list _________________________________________________________________
No comments:
Post a Comment